KICHEKESHO CHA LEO
Jamaa alikamatwa na mtambo wa kutengeneza gongo. Akapelekwa mahakamani kushitakiwa. Maswwali yalikuwa kama ifuatavyo:Hakimu: Je, unakubali kosa la kukutwa na mitambo ya kutengeneza gongo?
Mshitakiwa: Ndiyo bwana hakimu, lakini siyo kosa.
Hakimu: Kwa nini?
Mshitakiwa: Huu ni mtambo tu.
Hakimu: Kuwa na mtambo wa kutengeneza gongo ni kosa pia.
Mshitakiwa: Basi nishitakiwe kwa kosa la kubaka pia.
Hakimu: Kumbe umebaka pia?
Mshitakiwa: Hapana ila ninacho kifaa kinachotumika kubaka.
Hakimu akamwacha huru
[ Tuma Kichekesho Chako ]



Hapa Unasemaje?Cheki picha (juu) halafu ikong'oli
ili utoe maelezo yako kuhusu unachokiona, kisha njoo uangalie
kesho (chini kushoto) uone wengine wamesema nini...